• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KIPINDUPINDU NI HATARI WANANCHI ZINGATIENI USAFI

Imewekwa kwenye: January 12th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama  Mhe. Moses Machali amewataka Watendaji wa Vijiji, Kata, Maafisa Tarafa, pamoja na watumishi Afya kuwaelimisha wananchi kuzingatia usafi sambamba na kuhakikisha kila kaya ina jenga choo katika kupambana na tishio la mlipuko wa ugon amewataka Watendaji wa Vijiji, Kata, Maafisa Tarafa, pamoja na watumishi Afya kuwaelimisha wananchi kuzingatia usafi sambamba na kuhakikisha kila kaya ina jenga choo katika kupambana na tishio la mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu wilayani Mkalama.

ametoa agizo hii Leo tarehe 12/01/2024 wakati wa mkutano wa dharula na wakuu wa idara,  watendaji wa vijiji, kata , maafisa tarafa na watumishi wa afya  wa kujadili tahadhali ya mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu uliofanyika katika ukumbi wa Sheketela uliopo katika halmashauri ya wilaya ya Mkalama


“Watendaji wa Vijiji,Kata, Maafisa Tarafa, watu wa Afya shirikianeni kuhakikisha kila kaya inakuwa na choo, ambao hawatachimba choo wapigwe faini. Sitaki kusikia mtu hana choo.Natoa miezi 3 shule zote zinakuwa na vyoo, changisheni michango wananchi kwa ajili ya ujenzi wa vyoo katika shule zetu” DC Machali


“Waelimisheni Mama lishe, Baba Lishe, wachoma mahindi wazingatie usafi, wananchi watumie maji ya kuchemsha au yaliyotibiwa kwa dawa na vilabu vyote vya pombe  ambavyo havina vyoo vifungwe mara moja” DC Moses Machali.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa wilaya ya Mkalama Bi Asia Messos amewataka walimu kuhakikisha kila siku wanawaelimisha wanafunzi kuhusu ugonjwa wa kipindupindu kwa kuzingatia matumizi ya maji safi na salama, kuweka vyoo vya shule safi muda wote katika kuhakikisha wanadhibiti ugonjwa wa Kipindupindu


Awali akiwasilisha taarifa kuhusu hali ya ugonjwa wa Kipindupindu wilayani Mkalama, Afisa Afya wilaya , Dorice Damian amesema hadi kufikia Novemba 06,2023 idadi ya watu walioripotiwa kuwa na Kipindupindu walikuwa ni 9 na hakuna kifo chochote kilichoripotiwa kinachotokana na ugonjwa huo huku wagonjwa hao tayari wamesharuhusiwa kurudi majumbani kwao kuendelea na shughuli za ujenzi wa taifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.