• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kilele cha maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Kimkoa yafanyika ndani ya Wilaya ya Mkalama.

Imewekwa kwenye: December 11th, 2021

Jamii imetakiwa kusimama na kupinga ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa Watoto ili kuwa na taifa imara na lenye nguvu kwa kizazi kijacho.


Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Mkoa wa Singida Bi Doroth Mwaluko katika kilele cha maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsi yaliyofanyika Kimkoa katika ukumbi wa Sheketela uliopo wilaya Mkalama Mkoani Singida.


Aidha Bi. Mwaluko amesema kuwa kila mtu ana wajibu wa kuripoti na kupinga ukatili wa kijinsia  na kutetea haki za Watoto kwa kuwapa mahitaji muhimu kama vile mavazi,malazi, chakula pamoja na haki ya kupata elimu kwa wote kwakuzingatia usawa wa kijinsia.


Awali akisoma taarifa kwa mgeni rasmi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida ACP Stella Mutabihirwa amesema kuwa  kesi zinazotokana na  ukatili wa kijinsia zimepungua  kutoka 1012 kwa mwaka 2019 /2020 na kufikia 924 kwa kipindi cha mwaka 2020/2021 .


Ameongeza kwa kusema kuwa sababu zinazopelekea kupungua kwa matukio ya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa Watoto kuwa ni elimu inayoendelea kutolewa kwa jamii inayosimamiwa na kitengo cha dawati la jinsia kwa ngazi ya wilaya ,kata na vijiji .


Pamoja na hayo ACP Mutabihirwa  ameendelea kukemea tabia za baadhi ya wazazi wanaopewa pesa na mali ili kufuta kesi za Watoto wanaofanyiwa ukatili wa kijinsi  kama vile kubakwa ,kulaitiwa nakukatishwa masomo kutokana na mimba za utotoni zinapofika mahakamani huku akiwata wazazi hao kutumia siku hii adhimu kupinga na kukemea vikali matukio ya ukatili wa kijinsia ili kuweza kumaliza kabisa tatizo hilo.


Akimkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mhe. Sophia kizigo amesema kuwa siku hii ya kupinga ukatili wa kijinsia uzingatie jinsia zote usiegemee upande mmoja .


‘’Ili tuwe na taifa imara ni lazima tuwe na usawa ,wakati dunian nzima  tunaenda kumkomboa mtoto wa kike  tumemsahau mtoto wa kiume, tusije tukatengeneza  maadhimisho mengine  tena ya kumkomboa mtoto wa kiume maana wamesahaulika, Watoto wakiume wamekuwa wakifanyiwa mambo ya kikatili lakini jamii imenyamaza kimya’’.Ameongeza mhe.Sophia kizigo Dc Mkalama.


Maadhimisho ya siku ya ukatili huazimishwa  Disemba 10 ya kila mwana  na

Kaulimbiu ya  Mwaka huu ni ‘’EWE MWANANCHI KOMESHA UKATILI WA KIJINSIA SASA”

‘’SINGIDA BILA UKATILI WA KIJINSIA INAWEZEKANA’’.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.