• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KILA MTUMISHI AISHI KATIKA KITUO CHAKE CHA KAZI 'RC SERUKAMBA'

Imewekwa kwenye: January 9th, 2024


Mkuu wa mkoa wa Singida Mhe. Peter Serukamba ametoa agizo kwa maafisa ugani na maafisa elimu Kata Wilayani Mkalama kukaa katika maeneo yao ya kazi ili kuongeza ufanisi katika kazi zao.



Ametoa agizo hilo  Januari 08,2023 wakati wa kikao kazi na Madiwani, Maafisa Ugani, watendaji wa kata, vijiji pamoja na wakuu wa idara na Vitengo  kilichofanyika katika ukumbi wa Sheketela uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama.


" Maafisa ugani, maafisa elimu wote waishi katika maeneo yao ya kazi, tuandae vipimo vya kupima utendaji kazi wa maafisa ugani, kila mwezi ametembelea wakulima wangapi? kila mwezi ameandikisha wakulima wangapi? kuwaelimisha wakulima jinsi ya kulima kisayansi" Mhe. Serukamba


Mhe. Serukamba amewataka watendaji kuongeza uzalishajikwa kufuata  taratibu za kilimo,kilimoambapo amewaomba  Madiwani kutumia vikao vyao kuwaelimisha  wananchi juu ya matumizi sahihi ya mbolea ili kuongeza uzalishaji Wilayani hapa ambapo pia ambapo alimuagiza Afisa kilimo wilaya kufanya vikao na maafisa Kilimo wa Kata pamoja na Maafisa ugani kilamara  ili kuongeza ufanisi wao  kazini. 

Katika hatua nyingine Mhe. Serukamba ametoa wito  kwa  Maafisa elimu wilaya kusimamia zoezi ka uandikishaji wanafunzi sambamba na kupunguza tatizo la utoro Shuleni. 

Naye  Afisa Kilimo Wilaya ya Mkalama Bw. Selemani  Msunga amesema hali ya matumizi ya mbolea kwa wilaya ya Mkalama ni nzuri kiasi kwamba matumizi ya mbolea kwa wakulima yamevuka lengo lillokuwa limewekwa ambapo amesema kama Wilaya ilikusudia kutumia tani 1500 lakini kwa sasa matumizi yamefikia  zaidi ya tani 2000


Akiongea kwa naiba ya Madiwani Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mhe. James Mkwega amesema kama madiwani watahakikisha wanawahamasisha wananchi kulima kisasa na kuongeza uzalishaji kwakutumia mbolea pamoja na mbegu bora ambapo pia aliwataka watendaji, Maafisa ugani pamoja na Maafisa Tarafa kutekeleza majukumu yao vizuri kwakuwatembelea wananchi na kuacha kukaa maofisini.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.