• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kila mtoto ni lazima aende shule-Masaka

Imewekwa kwenye: March 24th, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama Mhe: Jackson Masaka amewataka wazazi na walezi wote Wilayani hapa kuhakikisha wanapeleka shuleni watoto  wote waliochanguliwa kujiunga na idato cha kwanza na wale ambao bado hawajaandikishwa kujiunga na elimu ya awali na msingi waandikishwe kwa wakati kabla shule hazijafungua.


Mhe: Masaka ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya jeshi la Akiba maarufu kama Mgambo yaliyoenda sambamba na sherehe za maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru wa Tanganyika  katika uwanja wa mpira wa Miguu wa Iguguno uliopo katika kata hiyo ambapo alisisitiza kuwa serikali haitasita kuchukua hatua kwa mzazi au mlezi atakayepuuzia agizo hilo kwa sababu dhamira ya dhati ya serikali iliyopo madarakani ni kuhakikisha kila Mtanzania anapata Elimu na ndio maana imefuta malipo ya ada kutoka ngazi ya awali mpaka kidato cha nne.


“Ningependa kuchukua fursa hii kuwapongeza sana vijana kwa ujasiri na ukomavu waliouonesha katika kipindi chote cha mafunzo na ninawahakikishia serikali itakuwa bega kwa bega na nyinyi pindi zitakapokuwa zikitokea nafasi zinazohitaji ujuzi na mafunzo mliyoyapata” Alisisitiza Masaka.


Katika hatua nyingine, Mhe: Masaka aliwahimiza wananchi kuhifadhi chakula walichopata wakati wa mavuno ya msimu uliopita wa kilimo kwa sababu kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, Mikoa ya Dodoma na Singida itakuwa na mvua ya wastani kwa msimu wa mwaka 2016/2017 hivyo kuna hatari ya kukumbana na ukame kama wananchi hawatotunza chakula cha akiba.


“Tulime mazao yatakayohimili ukame kama vile mtama,uwele, viazi na mhogo lakini pia ili tujihakikishie kuwa na pesa ya kununua chakula kutoka maeneo mengine tuweke vipaumbele kwenye mazao ya biashara zaidi” Alimalizia Masaka.



                                                                                                                                                  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.