• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kila Kituo cha Afya kiwe na chumba cha upasuaji-Kigwangala

Imewekwa kwenye: March 25th, 2017

Naibu Waziri wa Afya, Mendeleo ya jamii, jinsia na watoto, Mhe: Hamisi Kingwangala amefanya ziara Wilayani hapa wikiendi hii ambapo mbali  na kutembelea na kukagua kazi mbalimbali zinazofanywa na Idara ya afya, ametoa maagizo Katika ziara hiyo, Kigwangala alianza kwa kutembelea Zahanati ya Nduguti ambapo alitoa maagizo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Mkalama kuhakikisha anamaliza ujenzi wa Jengo la Kituo cha Afya cha  Wilaya ndani ya Miezi sita.

“Kama mtaendelea kusubiri pesa za bajeti ili mkamilishe jengo hili mtakuwa mnajichelewesha wenyewe kwa sababu kwa hatua lililofikia mna uwezo wa kulimalizia kwa kutumia vyanzo vya ndani” Aliongeza Kigwangala.

Katika hatua nyingine, Mhe: Kigwangala alimsifu mhudumu wa Zahanati hiyo, Josephine Mwakanyaga ambaye ndiye aliyekuwa akimpa maelezo mbalimbali yanayohusu zahanati hiyo kwa uwezo mkubwa alionao katika uchambuzi wa dawa na vifaa tiba.

“Huyu ni mhudumu mwenye uwezo mkubwa sana na anayejua kitu anachofanya” Alisema Kigwangala.

Ziara ya Mhe: Kigwangala ilihitimishwa katika Zahanati ya Iguguno ambapo alimsifu Mbunge wa jimbo la Mkalama Mhe: Allan Kiula na timu yote ya Halmashauri ya Wilaya kwa hatua waliyolifikisha jengo jipya linalotarajiwa kuwa kituo cha afya katika eneo hilo.

“Nawapongeza sana na ninawaahidi kuwaunga mkono kwa kuhakikisha taratibu za usajili wa kituo hiki zinafanyika haraka sana ili lianze kutumika mara moja mara baada ya kukamilika” Alimalizia Kigwangala.

Aidha katika kuunga mkono jitihada za Mhe: Kiula, Kigwangala aliahidi kuchangia shilingi milioni moja ili kukamilisha ujenzi wa Jengo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.