• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAANGAZIA MIRADI YA MAJI WILAYANI MKALAMA.

Imewekwa kwenye: December 12th, 2023

Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Mkalama, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya Mhe. Moses Machali, leo Disemba 12 , 2023 imetembelea na kukagua miradi ya maji inayotekelezwa na serikali ya awamu ya sita katika vijiji vya Mwangeza , Kitongoji cha Gambasimboi Kata ya Mwangeza , Nkalakala pamoja na Mbigigi Kata ya Kikhonda ambapo kamati hiyo imefurahishwa na utekelezwa wa miradi hiyo.

Akiongea mara baada ya kumaliza kukagua miradi hiyo Mhe. Moses Machali ameipongeza serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu kwa kuwezesha wananchi wa vijiji hivyo kupata maji safi na salama.


“Leo tumekagakua miradi mitatu, mradi wa kwanza ni mradi wa Gambasimboi wenye thamani ya shilingi milioni 109, baada ya hapo tulikwenda katika kijiji cha Nkalakala kutembelea mradi wa maji wenye thamani ya shilingi milioni 370 ambapo vitongoji 5 vitanufaika na mradi huu,tumetembelea pia mradi wa maji wa Mbigigi wenye thamani ya shilingi milioni 396, mradi huu unafadhiliwa na mfuko wa maji wa Taifa, ‘National Water Fund’ tunaishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt.Rais Samia Suluhu sasa wananchi wa maeneo haya watapata maji”, Aliongeza Mhe. Machali.

Akiongea kwa niaba ya wananchi diwani wa Kata ya Nkalakala Mhe.Athumani Jabili ameishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa Rais, Dkt .Samia Suluhu Hassan kupeleka mradi wa maji katika kijiji cha Nkalakala ambapo ameeleza kuwa mradi huo utakapokamilika utasaidia kupunguza magonjwa ya mlipuko kwani wananchi walikuwa wanatumia maji yasiyo salama ambayo walikuwa wanachota kwenye madimbwi.

“Tunaishukuru serikali kwa kuteletea mradi huu mzuri,Maji tumeyapokea kwa mikono miwili, tunamuomba Mungu mradi ukamilike ili wananchi wangu watumie kwa wema na pia kuondoa adha ya kuchota maji mbali yasiyo salama” Aliongeza Mhe. Jabili

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.