• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa kwenye: May 2nd, 2023

kamati ya Siasa Wilaya  imetembelea na kukagua miradi ya maendeleo Wilayani Mkalama ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020/2025.


Akiongea katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali ameitaka Idara ya Miundo mbinu na ujenzi Pamoja na kitengo cha manunuzi kuhakikisha wanasimamia kikamilifu miradi hiyo Pamoja na kitengo cha manunuzi kusimamia sheria ya manunuzi kwa Umma kulingana na bei iliyopo sokoni.


Pamoja na hayo Mhe. Machali aliwaagiza kuhakikisha wanaanda taarifa ya miradi yote iliyotembelewa na kukaguliwa na kamati ya siasa Wilaya kuainisha matumizi na gharama za miradi husika Pamoja na ramani za miradi hiyo na kuwasilisha ofisini kwake ndani ya siku tatu.


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mkalama Bw. Lameck Itungi amewataka wote wanaohusika na usimamizi wa miradi kusimamia kwa umakini ili uhalisia wa pesa uendane na thamani za utekelezaji na kuwaonya kuwa hawata wavumilia watendaji wabadhilifu watakaobainika kuhujumu miradi ambayo serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi kwaajili ya  maendeleleo ya wananchi.


Miradi iliyotembelewa leo hii May 2, 2023 ni Pamoja na Jengo la dharula na Mochwari katika Hospitali ya Wilaya  kata ya Nduguti ambayo yamegharimu Tsh 300,000,000 , ujenzi wa Nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji Tsh 300,000,000, ujenzi wa Kituo cha Afya Ilunda Tsh 500,000,000, ujenzi wa daraja la Ndurumo linalounganisha vijiji vya Nkungi na Mng’anda Tsh18,500,000.


Miradi mingine iliyotembelewa ni Mradi wa maji Kinampundu utakaokuwa na vituo 12 vya kuchotea maji na utagharimu kiasi cha Tsh430,000,000, ujenzi wa zahanati ya Kenke 50,000,000 pamoja na ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kisubiu Tsh 470,000,000.

Matangazo

  • Uzinduzi wa Msimu mpya wa Kilimo kufanyika October 20 2021 October 18, 2021
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI YENYE MAREKEBISHO June 29, 2022
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI YENYE MAREKEBISHO June 29, 2022
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI YENYE MAREKEBISHO June 29, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HATI 208 ZAKABIDHIWA KWA WANANCHI WA MIDIBWI

    June 03, 2023
  • JESHI LA UOKOAJI NA ZIMA MOTO LAWAPIGA MSASA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA

    June 01, 2023
  • NIWAPONGEZE TRA KUVUKA LENGO LA UKUSANYAJI WA MAPATO

    May 31, 2023
  • WASAIDIENI WAFUGE KISASA ' RC SERUKAMBA '

    May 28, 2023
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    MKALAMA DISTRICT COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi: +255 758 954 045

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.