• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI MKALAMA

Imewekwa kwenye: February 18th, 2023


Kamati ya siasa Mkoa wa Singida ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa , Martha Mlata imetembelea na kukagua miradi mitatu  yenye thamani ya Tsh.575,824,000/=katika Kata za Gumanga Kijiji cha Gumanga  na Kata ya Nduguti Kijiji cha Nduguti.


Ziara hiyo imefanyika  February 17, 2023 ambapo wametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Madarasa mawili Shule ya awali ya Mfano na matundu sita ya Vyoo katika Shule ya Msingi Gumanga uliogharimu kiasi cha Tsh. 55,824,000/=, Ujenzi wa Kituo cha Afya Gumanga chenye thamani ya Tsh.500,000,000 pamoja na kukagua kikundi cha  Tunza Nduguti  kinachojihusisha na ufugaji wa Ng’ombe wa maziwa na kilimo cha mahindi wenye thamani ya Tsh 20,000,000/=


Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida  Mhe. Martha Mlata ameupongeza uongozi wa Wilaya ya Mkalama kwa usimamizi mzuri wa miradi yote waliyotembelea Wilayani hapa na kuongeza kuwa miradi imezingatia ubora na fedha zilizotumika zinaendana na thamani ya miradi.

‘’Nimefurahishwa na namna ya utekelezaji wa miradi wilayani hapa ni tofauti na sehemu nyingine zote nilizopita, hii inatokana na ushirikiano mliouonyesha hapa leo, Mkurugenzi naona ofisi yako yote iko hapa pamoja na viongozi wengine Wilayani hapa hivyo naomba muendeleze ushirikiano huu ili muweze kufika mbali zaidi’’ Aliongeza Mlata mwenyekiti CCM Mkoa

Aidha  Mhe. Mlata aliongeza kwa kusema kuwa ziara hiyo ni utekelezaji wa Ilani ya Chama cha mapinduzi ya Mwaka 2020/ 2025  inayohakikisha inatoa fedha nyingi kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa masilahi mapana Nchi na kwa maendeleo ya Wananchi.


Katika hatua nyingine alifurahishwa na kikundi cha Tunza Nduguti chenye wanachama 10 waliopata mkopo wa Tsh. 20,000,000 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama ambapo alimpongeza Mkurugenzi Mtendaji kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa usimamizi mzuri wa fedha hizo, ambapo alimtaka mkurugenzi kutenga fungu kwaajili ya Kikundi hicho Kwenda kujifunza ufugaji wa kisasa kupitia waliofanikiwa Zaidi ili kikundi hicho kiweze kuleta tija kwa familia zao  na Wilaya ya kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.