• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA, MIPANGO NA UTAWALA WAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI MKALAMA

Imewekwa kwenye: November 6th, 2023

KAMATI YA FEDHA, MIPANGO NA UTAWALA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA WAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO


Kamati ya fedha ,Mipango na Utawala  Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama leo Novemba 06 ,2023 imefanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa  miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai-Septemba kwa mwaka wa fedha 2023/2024.


Baada ya kukagua na kutembelea miradi hiyo kamati iliongea na Wananchi wa Kijiji cha Kitumbili Kata ya Tumuli, Iguguno pamoja na Kikhonda ambapo wamesisitizwa kuunga juhudi ya Serikali ya awamu ya Sita kwa kuchangia shughuli za maendeleo ili iwe rahisi kwa Serikali kuwekeza katika maeneo yao.


"Serikali inaleta fedha nyingi kwaajili ya kutekeleza miradi ya  maendeleo Wilayani kwetu anzisheni Miradi ili Serikali iweze kuwa ‘Support’ aliyepo barabani ndiye anayepewa lift aliongea Mhe. Mkwega Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama"Mhe. Mkwega.


Mhe. mkwega aliwataka Watendaji kushirikiana na viongozi  wa chama na Serikali  kusimamia suala la Lishe Shuleni na kuwataka kuweka mkazo kwa wazazi ambao hawachangii chakula  kuwepo kwa sheria zitakazowabana ili afua hiyo iweze kutekelezwa kwa Shule zote Wilayani hapa na watoto wapate chakula kwa kipindi chote  wanapokuwa Shuleni.

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa na Kamati  ya Fedha , Mipango na Utawala ni pamoja na Ujenzi wa daraja kijiji cha Kitumbili, Ukamilishaji wa Zahanati Kijiji cha Kitumbili,Ujenzi wa Kivuko cha Iguguno Shamba, Ukarabati wa Shule  kongwe Shule ya Msingi Iguguno, Ukamilishaji wa Zahanati ya Lukomo , Ujenzi wa Maabara Shule ya Sekondari Kikhonda pamoja na ujenzi wa Nyumba ya Mwalimu Shule ya Irama.


Ziara hiyo itaendelea kesho Novemba 07,2023 katika Kata za Nduguti, Miganga pamoja na Msingi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.