• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

JUNE 20 MIRADI YOTE INAYOTEKELEZWA WILAYANI MKALAMA IWE IMEKAMILIKA'RC SERUKAMBA '

Imewekwa kwenye: May 26th, 2023

JUNI 20, 2023 MIRADI YOTE INAYOTEKELEZWA WILAYANI MKALAMA IWE IMEKAMILIKA' RC SERUKAMBA '


Mkuu  wa Mkoa wa Singida,  Peter Serukamba, amefanya  ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Wilaya ya Mkalama na kutoa agizo kwa viongozi  na wasimamizi miradi hiyo katika  Halmashauri ya Wilaya  kuhakikisha ifikapo Juni 20, mwaka huu iwe imekamilika.


Pia ametoa agizo baadhi ya miradi kama ya ujenzi wa shule mpya za msingi  ujenzi uwe unafanyika kwa saa 24 na kuongeza idadi ya mafundi  ili kuongeza kasi ya ujenzi na kumwagiza Meneja wa Shirika la Umeme (TANESCO) Wilaya ya Mkalama kupelekea umeme kwenye miradi hiyo ili mafundi wafanye ujenzi muda wote.


Mhe. Serukamba ametoa agizo hilo leo (Mei 26, 2023) katika siku ya kwanza ya  ziara yake wilayani Mkalama ambapo ametembelea na kukagua miradi sita ambayo ni ujenzi wa shule mpya za msingi, ujenzi wa mabweni, vyumba vya madarasa, vyoo,  zahanati na Hospitali ya Wilaya ya Mkalama.


Serukamba alianza kwa kutembelea kikundi cha watu wenye ulemavu Iguguno kinachojishughulisha na biashara ndogondogo, ukamlilishaji wa ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Lukomo na ujenzi wa shule mpya ya msingi Ishenga.

Akiwa katika mradi wa ujenzi wa shule mpya ya Ishenga alimwagiza mhandisi wa ujenzi na Miundombinu wa Wilaya kuhakikisha kila siku awe anafika kwenye mradi huo kukagua kuona ujenzi unavyoendelea na atembelee kila jengo kujua changamoto ziliyopo kwa mafundi na kuzitatua.


“Mhandisi wa Wilaya kwanza wewe ubaki hapa hapa kwenye mradi hakuna haja ya kuendelea na mimi kwenye ziara baki usimamie tutanataka mradi huu ifikapo Juni 7, mwaka huu ujenzi wa shule hii uwe umekamilika,” alisema Serukamba.

Katika mradi wa ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuari ya Wilaya ya Mkalama ambayo serikali imeshatoa Sh. Milioni 300, ameagiza ifikapo Juni 20, mwaka huu ujenzi uwe umekamilika na kukabidhiwa kwa serikali.


Mkuu wa Mkoa akiwa katika mradi wa ujenzi wa matundu ya vyoo 17 shule ya msingi Mazilinga amemwagiza Afisa Elimu Shule za Msingi kuhakikisha anasimamia kwa karibu ujenzi huo na uwe umakalimika ifikapo Juni 19, mwaka huu.


Aidha, Serukamba ametoa agizo la jumla kwa Mhandisi wa  Ujenzi  Mkoa katika shule tisa mpya za msingi zinazojengwa kwenye halmashauri kutokana na fedha za mradi wa BOOST kuanzia Jumatatu wiki ijayo aanze kuzitembelea na kuangalia maendeleo ya ujenzi na siku Ijumaa ampelekee ripoti.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.