• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

JAMII TUJITATHIMINI KATIKA MALEZI YA FAMILIA

Imewekwa kwenye: May 15th, 2023

Jamii imetakiwa kujitathimini juu ya maadili na malezi kwa watoto kwakuweka msawazo wa ratiba za kazi na malezi ya  familia ambayo yamebainika  kuwa changamoto  kwa   watoto nakupelekea kuiiga   tamaduni za kimagharibi zinazochochea  kushuka kwa maadili.


Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali ameyasema hayo mapema leo May 15, 2023 wakati akifungua kongamano la siku ya familia lilifanyika katika ukumbi wa Sheketela uliopo katika  Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama 

Aidha Mhe. Machali ameongeza kuwa Kila mmoja ni kiongozi mahala popote anowajibu wa kulinda mambo yote mema na kuwafundisha watoto kuwa na maadili mema ili kutengeneza taifa lenye maadili mazuri kwa maslahi mapana ya Wilaya na Taifa kwaujumla.


 ‘’familia nyingi za Kitanzania zinakabiliwa na changamoto nyingi zinazopelekea wazazi kuwa  ‘busy ‘ na kazi zao na kusahau jukumu la kulea familia , sikatai mtu kufanya  kazi lakini wazazi tunaowajibu wa ‘kubalance ‘ kazi na malezi ili watoto wetu wabaki salama kwa masilahi mapana ya Taifa hili’’Aliongeza Mhe Machali.


Aliendelea kwakusema kuwa wazazi kwakushirikiana na walimu wanalojukumu kubwa la kuendeleza malezi mazuri pamoja na kukemea wazi wazi vitendo vyote vya kihalifu kama vile ushoga na usagaji  ili taifa lipone na kuwa na kizazi chenye hofu ya Mungu.


 Pamoja na hayo amewataka wananchi kutumia siku ya leo kutafakari mienendo yao juu ya malezi ya familia na kuunda familia mpya ambayo italeta matokeo chanya kwa kizazi kijacho.


Afisa maendeleo ya jamii Bw. Mohamed Atiki amesema Wilaya ya Mkalama imeungana na Nchi uanachama za umoja wa Mataifa kuadhimisha siku ya familia ambayo hufanyika  Mei 15 kila mwaka ikiwa na lengo la kutoa kipaumbele cha kujadili mambo mbalimbali yahusuyo familia na jamii.


Bw. Atiki ameongeza kuwa siku hii muhimu hutoa fursa ya kujadili masuala yanayoathiri familia ikiwemo kijamii, kiuchumi na hata kidemografia ili kuepusha migogoro isiyo ya lazima inayopelekea familia nyingi kusambaratika na kuacha watoto bila uangalizi wa pamoja na kukosa huduma muhimu.


Pamoja na hayo amesema kuwa ushindani uliopo katika soko huria ni changamoto kwa kizazi cha sasa kutopata muda wa kutosha wa kuwa na familia na kutoa wito kwa Wananchi wote kushiriki kikamilifu katika katika malezi ya watoto.


‘’Imarisha maadili na upendo kwa familia Imara‘’hii ndio kauli mbiu ya siku ya familia leo May 15, 2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.