• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

JAMII HAKIKISHENI MNAKOMESHA UKATILI

Imewekwa kwenye: March 8th, 2023


Jamii imetakiwa kukosemesha na kukemea vitendo vyote dhidhi ya ukatili kwa  wanawake na Watoto wa kike ili kuleta usawa wa kijinsia na kuhakikisha wanawake wanapewa haki katika nyadhifa mbalimbali za uongozi .


 Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe, Moses Machali ameyasema hayo March 8, 2023 katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya wanawake Duniani ambayo  Wilayani Mkalama yamefanyika katika Kijiji cha Singa kilichopo Kata ya Kinampundu.

‘’ Ni ushamba na ni ujinga kuona wanaume wanawanyanyasa wanawake katika jamii wakati tumeona wanawake wanaonyesha uwezo Mkubwa  katika Nyanja mbalimbali za uongozi kama tunavyoona Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Mwanamke, na wengine wengi hata hapa Wilayani tunaona DAS wetu ni mwanamke, Mkurugenzi ni mwanamke na wengine wengi , tena wana michango na mawazo mazuri  kuliko hata sisi wanaume ambayo yanaleta tija kwa jamii’’ Alisisitiza Mhe. Machali


Aidha Mhe. Machali aliongeza kuwa siku hii Adhimu ya wanawake Duniani ikalete chachu kwa jamii kumheshimu mtoto wa kike  na kumpatia haki ya Elimu na wanawake  wote kwa ujumla huku akisema kwa yeyote atakayebainika kufanya vitendo vya kikatili kwa wanawake Wilayani hapa  hatua kali za kisheria  zitachukuliwa dhidi yake.


Mhe. Machali amesema kuwa kauli mbiu ya mwaka  2023 ni  ’Ubunifu na Mabadiliko ya Teknolojia chachu katika kuleta usawa wa kijinsia’ ikalete mabadiliko na usawa wa kijinsia katika jamii huku akiitaka jamii kutumia vizuri mabadiliko hayo kujenga jamii yenye usawa inayotenda haki kwa masilahi mapana ya kizazi kijacho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAKABIDHI KADI ZA MATIBABU BURE KWA WAZEE MKALAMA

    June 15, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA WILAYANI MKALAMA

    June 16, 2025
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkalama Apongeza Ujenzi wa Zahanati ya Nkenke

    June 13, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA MKOA WA SINGIDA

    June 11, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.