• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA IMEPOKEA FEDHA NYINGI KWA KIPINDI CHA MIEZI SITA 'DED MESSOS '

Imewekwa kwenye: December 31st, 2023
Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Bi. Asia Messos  amesema katika kipindi cha miezi sita Halmashauri ya wilaya ya Mkalama imepokea jumla ya  Tsh. 1,817,625,626 kwaajili ya miundombinu  mbalimbali ikiwa ni pamoja na Elimu Msingi pamoja na Sekondari ikiwa ni  sehemu ya maandalizia ya kupokea wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo unaoanza Januari 2024.


Bi Messos  amesema kuwa kupitia mradi wa Boost Halmashauri imepokea na kutumia jumla ya shilingi Tsh. 925,400,000 katika ujenzi wa shule moja mpya ya Msingi (Shule ya Msingi Nkindiko),Jengo 1 la utawala,Nyumba 1 ya Mwalimu,Madarasa 56,Matundu ya vyoo 42,Madawati 405, pamoja na kupokea kiasi cha  Tsh. 238,000,000 kwaajili ya ukarabati wa shule Kongwe 11 za Msingi.


Kupitia mradi wa SEQUIP Halmashauri imepokea jumla ya Tsh. 544,225,626 kwaajili ya ujenzi wa shule mpya ya Sekondari (Mkalama One) na Tsh. 110,000,000 kwaajili ya ujenzi wa nyumba mpya ya mwalimu katika shule ya Sekondari Kisubiu.


Aidha Bi. Messos ameongeza Kwa kusema kuwa Halmashauri kupitia mapato ya ndani katika sekta ya elimu pekee imepeleka jumla ya Tsh. 47,500,000 ambapo zimetumika katika ukamilishaji  wa Maabara Shule ya Sekondari Tumuli Tsh. 12,500,000, Ujenzi wa darasa 1 shule ya Msingi Maelu 23,000,000, Ukamilishaji wa darasa 1 shule ya Msingi Kinandili


“Ujenzi wa miundombinu yote umeshakamilika pamoja na usajili  wa shule mpya mbili. Halmashauri ipo tayari kuwapokea wanafunzi wapya wa awali, darasa la kwanza na kidato cha kwanza ifikapo Januari, 2024”,  ameongeza Bi. Messos.


Sambamba na hayo ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais msikivu Dkt. Samia Suluhu Hassan kuendelea kutoa pesa hizo kwaajili ya kutekeleza miradi ya Maendeleo Wilayani hapa nakusema kuwa Kila pesa itakayokuja kwaajili ya miradi itasimamiwa kikamili na kukamilisha  miradi hiyo kwa wakati.

@ded_mkalama @ofisi_ya_rais_tamisemi @omaryksadick @joramnabaili

#mkalamasalamakaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.