• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri kusimamia mikopo ya 10%.

Imewekwa kwenye: January 27th, 2022



Na Rachel Joram


Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Binilith Mahenge ameipongeza Halmashauri ya wilaya wa Mkalama kwakutekeleza takwa la kisheria la kutoa 10% yamapato yake ya ndani kwaajili ya mikopo kwa Vikundi vya vijana , wanawake na walemavu.


Ameyasema hayo mapema leo wakati akikabidhi kiasi cha Tsh. 2,000,000 kwa kikundi cha Vijana cha Iguguno (IGUGUNO YOUTH GROUP) katika Kijiji cha Iguguno kata ya Iguguno ikiwa ni kutimiza ahadi yake aliyoahidi hivi karibuni ikiwa ni kuunga Mkono juhudi za Halmashauri  inayotenga 10%kwa makundi ya vijana ,wanawake pamoja na watu wenye ulemavu.


Pamoja na pongezi hizo amewataka viongozi  wa Halmashauri  kusimamia vikundi vinavyopata mikopo ili kuona ni vikundi gani vinafanya vizuri.


‘’haitaleta maana kama Halmashauri  inatoa  shilingi milioni kumi na tano na kikundi kinakufa, Halmashauri kuna wataalamu wengi  kama vile Afisa maendeleo ya jamii na wahandisi na hizi kazi zakufyatua tofali ni za kihandisi hivyo tunatarajia tofali zinazofyatuliwa na kikundi hiki ziwe bora  na  kuwa na soko kuliko tofali za kikundi kingine chochote kwasababu halmashauri imewekeza kwenu na inawataalamu wengi kuweza kushauri vikundi hivyo’’Aliongeza RC Mahenge.


Hata hivyo amewataka wanakikundi hao kuwatumia wataalamu kwa kazi wanazofanya ili kupata uelewa na ujuzi Zaidi kutoka kwa wataalamu mbalimbali na kuweza kufanya kazi zao kwa ufanisi Zaidi na ubora.


Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mheshima Sophia Mfaume Kizigo amemshukuru Mkuu wa Mkoa kuwaunga mkono na kuongeza kuwa kitendo hicho kitawatia moyo wanakikundi hao kwani viongozi wanatambua wanachokifanya na kuwa chachu ya maendeleo yakikundi hicho kwakufanya kazi kwa ufanisi Zaidi  ambapo ameahidi  kuwa uongozi wa wilaya ya Mkalama watasimamia vikundi hivyo vyema na kurejesha fedha hizo kwa wakati ili kunufaisha  vikundi vingine vilivyopo ndani ya wilaya ya Mkalama.


Kwa upande wake Mwenyekiti wakikundi hicho Bi. Vick Mwisakila amemshukuru  Mkuu wa Mkoa kwakufika nakujionea shughuli za kikundi hicho  na kusema kuwa fedha hizo alizowachangia watafanya jambo kubwa katika kikundi hicho  pia ametumia fursa hiyo kuwakaribisha vijana wengine kujiunga kwenye vikundi na kuacha Imani za kusubiri ajira serikalin

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.