• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri kuhakikisha kila baada ya miezi mitatu inaandaa kikao Cha Baraza la Wazee na Watu wenye ulemavu.

Imewekwa kwenye: March 15th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Sophia Kizigo ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama kuhakikisha Kila baada ya miezi mitatu (3) vikao vya kamati za Watu wenye Ulemavu na Baraza la Wazee linakaa kujadili mambo mbalimbali yanayowahusu Wazee na Walemavu kwa masilahi mapana ya makundi haya.


Ametoa maagizo hayo wakati akizindua Kamati ya Watu wenye ulemavu na Baraza la Wazee ngazi ya Halmashauri lililofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Sheketela uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama.


Aidha, amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Afya inasisitiza uwepo wa kamati za Watu wenye ulemavu na Mabaraza ya Wazee kuanzia ngazi ya Taifa hadi Mitaa / Vijiji  hivyo kuwepo kwa vikao vya mara kwa mara vitarahisisha wajumbe kusimamia upatikanaji wa huduma kwa watu wenye ulemavu  katika mazingira jumuishi bila ubaguzi katika nyanja zote.


Pamoja na hayo aliwataka Wajumbe wa Mabaraza hayo kila mmoja kwa nafasi yake kusimamia majukumu yake huku akiutaka uongozi  wa  Baraza la Wazee kuhakikisha wanaishauri na kuishawishi Serikali na wanasiasa kuboresha huduma kwa Wazee na wategemezi wao .


Akitoa neno la shukrani kwaniaba ya wajumbe hao Magreth Kinota aliupongeza uongozi wa Wilaya ya Mkalama kwa kazi nyingi zenye masilahi mapana kwa jamii ambapo aliahidi watafanya kazi kwaushirikiano ikiwa ni pamoja na kulinda na kukuza ustawi na Maendeleo ya watu wenye ulemavu kama vile kupewa mikopo ya asilimia mbili pamoja na kuishawishi Serikali kutoa vitambulisho kwa Wazee wenye miaka sitini (60) na kuendelea kwaajili ya kupatiwa huduma mbalimbali ikiwemo afya, Maji pamoja na kupata msamaha wa kodi za majengo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.