• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

HAKIKISHENI MNAKUWA WAADILIFU KWENYE KUKUSAYA MAPATO

Imewekwa kwenye: February 28th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Mhe. Moses Machali amewataka wasimamizi na wakusanya mapato wote kuhakikisha wanakuwa waaminifu katika kazi yao na kudhibiti mianya yote ya upotevu na utoroshaji wa  mapato unaosababisha hasara kwa Halmashauri.


Ameyasema hayo mapema leo wakati akiongea na wakusanya mapato na Timu ya Mapato ya Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama (TASK FORCE) katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mkalama.

‘’Leo tarehe 28 mwezi wa pili nakutana nanyi timu inayohusika na ukusanyaji wa mapato wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama tumegundua kwamba ipo mianya ya upotevu wa mapato na zipo taarifa, usisubiri mpaka tuje tukufuate ukakamatwa utakuwa umepoteza kazi, hivyo utamuaga Mkeo utamuaga mumeo na Watoto wako, itakuwa ni hasara na  vilio katika familia yako’’ Alisisitiza Mhe. Machali


Aidha, amewataka watumishi hao kuwa waaminifu na kazi waliyopewa na kuaminiwa na Serikali kuhakikisha  kila pesa inayopatikana inawekwa Benki ili kuepusha ushawishi utakao pelekea kutumia fedha hizo .


‘’Hakikisheni mnakuwa waaminifu katika kazi na kila pesa mnayokusanya inaingia kwenye kapu letu la Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama inayoongozwa hapa  na Bi. Asia  Messos na ole wake atakayeingia kwenye kumi na nane tutamshambulia kama Mpira wa kona’’ Aliongeza Mhe. Machali


Sanjari na hayo amemtaka Afisa mapato kuwa mbunifu katika kuibua vyanzo vipya vya mapato ili kuharakisha pato la Wilaya na kuagiza kuchukuliwa hatua kali za kisheria  kwa kampuni zote za ujenzi wanazofanya shughuli wilayani hapa ambazo hazilipi Ushuru wa Madini ya Ujenzi.


Bi.  Elizabeth Rwegasira,  Katibu Tawala wa Wilaya ya Mkalama pamoja na Mkurugenzi Mtendaji  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, Bi. Asia Messos nao wamesisitiza uaminifu na umakini katika utendaji kazi kwa maslahi mapana ya Wilaya ambapo  wamesema kuwa uadilifu na ni zamu ya kazi utawapelekea kuendelea kuaminiwa na kupewa nafasi kubwa zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.