• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

ELIMU YA UKATILI YAWAFIKIA WANAFUNZI WILAYANI MKALAMA

Imewekwa kwenye: January 17th, 2024


Elimu ya ukatili wa kijinsia imeendelewa kutolewa katika nyaja mbalimbali ikiwepo shuleni ambapo watoto wanafanyiwa vitendo vya kikatili na kutishiwa kusema huku vikiendelea kuwaacha na matatizo makubwa katika miili yao akili pamoja na kuwaharibu kihisia watoto hao.


Gladness Msemwa kutoka Wizara ya katiba na sheria amesema hayo wakati akitoa elimu ya masuala ya haki za watoto pamoja na ukatili wa kijinsia katika Shule ya Sekondari Nkinto na Shule ya Msingi Makulo Kata ya Nkinto Wilayani Mkalama.


Aidha aliwataka watoto kutambua haki zao za msingi ikiwa ni pamoja na haki ya kuishi, haki ya kupata elimu, kuendelezwa pamoja na haki ya kulindwa huku akiwasihi kutoa taarifa pale wanapohisi kuna viashiria au vitendo vya ukatili katika familia, jamii na hata shuleni.


‘’Kuna wengine mnafanyiwa ukatili majumbani mwenu, shuleni na hata kwenye jamii au ndugu wa karibu lakini mnaogopa kutoa taarifa unajikuta kama ni mtoto wa kiume unalaitiwa hadi unaharibika sawa na watoto wa kike inapelekea kuathirika ’kisaikoloji’ lakini hamsemi ili msaidiwe kwakuhofia kuuliwa au kwa vile anakupa vizawadi ’’ Aliongeza  Msemwa.



Pamoja na hayo Msemwa aliwataka wazazi kujenga urafiki na watoto ili kujua maendeleo yao au kuwaambia mambo wanayofanyiwa pia kuhakikisha wazazi wanawalinda watoto wao dhidi ya vitendo vya kikatili na kuacha kumaliza kesi nyumbani inapobainika mtoto kafanyiwa ukatili na ndugu wa karibu na familia kwani kwakufanya hivyo wanaendelea kulea na kukumbatia waovu wanaoharibu taifa la kesho.


Musa Christopher pamoja na Naomi Matemanga wanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Nkinto wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Compaign) kufika shuleni kwao na kutoa elimu juu ya masuala ya haki za watoto pamoja na ukatili wa kijinsia ambapo wamesema watatumia elimu waliyoipata kuibua vitendo vya kikatili kwenye maeneo yao pamoja na kuwa mabalozi wazuri kwa wengine.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.