• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DED ASIA MESSOS AKABIDHI VITABU 20471 KWA SHULE ZA MSINGI MKALAMA.

Imewekwa kwenye: April 3rd, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mkalama Bi.Asia Messos amekabidhi  jumla ya vitabu 20471 vya darasa la awali, la kwanza na la tatu pamoja na mihutasari ya darasa la tatu hadi la saba kwa  shule za msingi  wilayani Mkalama vilivyitolewa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) katika kupunguza upungufu uliopo na kuwezesha watoto kusoma kwa urahisi

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika leo Aprili 3,2024 katika ukumbi wa Sheketela, Mkurugenzi Mtendaji Bi.Asia Messos amemshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake za kuboresha elimu nchini Tanzania sambamba na kuzitaka shule zilizopokea vitabu hivyo kuhakikisha  vinatumika kufundishia kulingana na maelekezo waliopewa

“Tumepokea vitabu 20471 kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) vyenye thamani ya shilingi milioni 24, hizi zote ni jihudi za serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuboresha miundombinu ya elimu sambamba na mazingira ya kujifunzia na ufundishaji” Mkurugenzi Mtendaji Bi.Asia Messos

“Nitoe wito kwa walimu kuhakikisha vitabu hivi wanatumia kwa ajili ya kufundishia watoto wetu, Tutakapopita katika shule tusikute vitabu hivi kwenye makabati, vitabu vizuri tukivitumia vizuri tutawezakuinua taaluma wilayani kwetu” Mkurugenzi Mtendaji Bi.Asia Messos

Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya Elimu ya Awali na Msingi, Bi.Jusline G.Bandiko amesema vitababu hivyo vitasaidia kupunguza upungufu uliopo sambamba na hilo, ameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt.Samia Suluhu kwa kuendelea kuboresha sekta ya elimu wilayani Mkalama.

Vitabu vilivyotolewa kwa darasa la awali ni vitabu 6,836, darasa la kwanza vitabu 7,932 na darasa la tatu vitabu 5703 na mihutahasari 1378 vyenye thamani ya shilingi milioni ishirini na nne ambavyo vitabu hivi pamoja na mihutasari vitagawia katika shule 93 za msingi wilayani Mkalama


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.