• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DC MACHALI AZINDUA JENGO LA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO WILAYANI MKALAMA

Imewekwa kwenye: June 29th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali leo amezindua jengo la Dawati la Jinsia na Watoto wilayani Mkalama ikiwa ni jihudi ya serikali katika kutokomeza ukatili wa kijinsia nchini Tanzania

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa jengo hilo Juni 29,2024 amewataka wakazi wilayani Mkalama kuhakikisha wanakuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia wilayani Mkalama

“Kila mmoja ahakikishe anapambana kutoa taarifa kuhusu ukatili wa kijinsia kwenye mamlaka zinazohusika, tutumie Jeshi letu la polisi vizuri. Sisi sote tunapaswa kuwa mashujaa katika mapambano haya”, Mhe. Machali

Aidha Mhe. Moses Machali amewasisitiza wazazi Wilayani Mkalama kuwapeleka watoto wao shule ili waweze kutimiza ndoto zao za kimaisha na mzazi atakayekataa kumpeleka mtoto shule serikali itamchukulia hatua kali dhidi yake.

Kwa Mujibu wa taarifa ya Kamishina wa Kamisheni ya Polisi Jamii, CP Faustine Shilogile, amesema vitendo vya ukatili vimeongezeka nchini kwa mwaka 2023 kulinganisha na mwaka 2022 huku moja ya sababu ya kuongezeka kwa vitendo hivyo ni kutokana na uelewa mkubwa wa jamii katika kuripoti matukio ya ukatili kulinganisha na miaka ya nyuma.

“Kwa mwaka 2023 vitendo vya ukatili viongozeka hadi kufikia 22,147 kulinganisha na matukio 18,403 kwa mwaka 2022 kwa watu wazima na kwa upande wa watoto matukio yaliyoriptiwa ni 15,301 kulinganisha na 12,162 kwa mwaka 2022 “CP Faustine Shilogile

Naye Naibu Mwakilishi Mkazi UNWOMEN Ms Katherine Gifford amelipongeza Jeshi la Polisi nchini Tanzania na serikali kwa ujumla kwa kuwa mstari wa mbele katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.