• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DC MACHALI AWATAKA WATENDAJI WILAYANI MKALAMA KUWAJIBIKA

Imewekwa kwenye: December 13th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali amewataka wakuu wa Idara na Vitengo kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kuacha kukwamisha juhudi za Serikali katika kutelekeza miradi ya maendeleo wilayani hapa.

Ametoa wito huo mapema leo 13/12/2010 katika kikao kazi na wakuu wa Idara na Vitengo,Watendaji wa Vijiji na Kata,pamoja na walimu wakuu wenye miradi,,uliofanyika katika ukumbi wa Sheketela uliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama.

Aidha amesisitiza uwajibikaji kila mmoja kwa nafasi yake ili kuhakikisha fedha za maendeleo zinazotolewa na Serikali ya awamu ya Sita zinasimamiwa vizuri na kukamilika kwa wakati

“Pesa tumepokea toka mwezi wa saba, mpaka leo mifumo inasumbua.Mnasingizia mfumo mfumo, kumbe tatizo ni wewe. Acheni kupoteza muda kufanya kazi vitu ambavyo havina tija. Hata kama muda wa kazi umeisha jifunzeni. Msitukwamishe”, Mhe Moses Machali

Mhe, Machali amewaagiza watendaji pamoja na walimu wenye miradi kuhakikisha ifikapo Januari 5, 2024 majengo yote ya shule, vyoo yawe yamekamilika na kuwaagiza kuongeza idadi ya mafundi ili kuharakisha kazi hizo ambapo amewataka kukabidhi miradi hiyo tarehe 5,1-2023 .

Mbali na hilo, Mkuu wa wilaya amewataka pia waratibu wa elimu kubadili tabia zao katika kutekeleza majukumu yao ya kusimamia sekta ya elimu wilayani Mkalama.

“Wachache ambao mnafanyakazi zenu vizuri , wenzangu mabosi, ndio maana tunafeli. Laiti mngelikuwa mnafanyakazi zenu na ndio wanataaluma tusingeendelee kila wakati kuwa mikia, hamfatilii wala kusimamia nidhamu ya walimu, pamoja na miradi” DC Moses Machali

Sambamba na hayo Mhe, Machali amemuagiza Meneja wakala wa Misitu(TFS) kutoa kibali cha ukataji miti kwa vijiji na kata zenye changamoto ya madawati, viti na meza ili waweze kutengeneza mbao na kutatua changamoto hizo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.