• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DC MACHALI ATOA WITO WAZAZI KUWAPELEKA WATOTO SHULE

Imewekwa kwenye: January 22nd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali amewataka Wenyeviti wa Vijiji wilayani hapa kufanya kazi kwa weledi pamoja na kuhakikisha wanahamasisha wazazi wenye watoto wenye sifa wanawapeleka shule.

Kauli hiyo ameitoa Januari 21, 2025 wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Mkalama (DCC) kilichofanyika katika ukumbi wa Sheketela uliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama.


“Nawasihi nendeni mkahamasishe wazazi wenye watoto wawapeleke watoto wao shule, serikali imeweka mazingira mazuri ya watoto kusoma, hivyo sitegemei kukuta motto mwenye sifa ya kusoma yupo nyumbani” Mhe. Machali

Aidha Mhe. Machali ametangaza kuwachukulia hatua kali wazazi ambao watashindwa kuwapeleka watoto shule “Nitumie nafasi hii kuwajuza kuwa nitaanzisha oparesheni kuwasaka wazazi ambao nitakuta watoto wao wapo nyumbani ili hali wanasifa za kujiunga na shule”  Mhe. Machali.

Akizungumzia suala la uadilifu kazini, Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Machali amewataka Wenyeviti wa Vijiji wilayani hapa kujiepusha na masuala ya rushwa, kuuza ardhi za vijiji kiholela pamoja na kufanya kazi kwa ajili ya wananchi.

“Wananchi wamewachagua kwa ajili ya kuwatumikia, sitategemea muwe chanzo cha migogoro ya ardhi huko katika vijiji vyenu lakini sitegemei kusikia mnakuwa chanzo cha mmonyoko wa maadili, nendeni mkafanye kazi kwa ajili ya wananchi na taifa kwa ujumla.” Mh. Machali

Vile vile Mkuu Mhe. Machali amewakumbusha Wenyeviti wa Vijiji kuhakikisha wanafanya vikao mara kwa mara ili kusikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowabili wananchi katika vijiji vyao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.