• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

DC KIZIGO ASAINI MKATABA WA LISHE NA WATENDAJI WA KATA

Imewekwa kwenye: October 27th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Mkalama Mhe. Sophia  Kizigo amesaini Mkataba wa Lishe na watendaji wa Kata katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama utakaoenda kutekelezwa ngazi ya kata ili kuhakikisha  Wilaya inakuwa vizuri kwenye  Lishe na kumaliza utapia mlo .

Amesaini  Mkataba huo  mapema leo Oktoba 27 2022 wakati  wa kikao cha tathimini  ya lishe , jiongeze  tuwavushe salama na  iCHF na Watendaji wa  Kata katika ukumbi wa uthibiti ubora  elimu uliopo katika Halmshauri ya Wilaya ya Mkalama.

Aidha  Dc Kizigo aliwataka  watendaji   , wataalamu wa afya  pamoja  na wadau wa lishe  kuhakikisha wanasimamia zoezi la lishe ili kuandaa kizazi bora cha baadae.

Katika hatua nyingine aliwataka kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa lishe pamoja na faida za kujifungulia hospitali ili kuepusha vifo vya Mama na mtoto.

Mkurugenzi  Mtendaji  wa  Halmashauri  ya Wilaya ya Mkalama Bi. Asia Messos alitumia fursa hiyo kuwataka watendaji  wa  Kata kushirikiana na watendaji  wa Vijiji kusimamia majumu yao kwa weledi kwakufuata sheria za utumishi wa Umma kuwa waadilifu kwa kipindi chote cha utekelezaji  wa majukumu yao.

Hata hivyo aliwataka kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali  pamoja na kufuatilia ukamilisha wa shule madarasa mawili (SM2) ili kupunguza uhaba wa madarasa  wilayani Mkalama.

Afisa  Lishe  Wilaya ya Mkalama Eliwandisha Kinyau alisema kuwa  wataendelea kutoa elimu shuleni kuhusu masuala ya lishe na ulaji bora unaoshauriwa kwa kufuata makundi matano ya chakula pamoja mna kuanzisha bustani  Penseli  ya kilimo cha mboga mboga ili kuboresha lishe kwa wanafunzi na  jamii kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.