• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BILIONI MBILI KWAAJILI YA MATENGENEZO YA BARABARA WILAYANI MKALAMA

Imewekwa kwenye: January 28th, 2023

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mjini Tanzania (TARURA) Wilaya ya Mkalama imejipanga kutumia kiasi cha fedha Tsh. 2,201,880,000.00 kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za matengenezo ya Barabara kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Kaimu Meneja wa TARURA Wilaya ya Mkalama, Bw. Edward Masola amesema hayo Tar 27 January 2023 wakati akiwasilisha Mpango na Bajeti katika Baraza maalum la Madiwani lililofanyika katika Ukumbi wa Sheketela uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama.

Aidha, Bw. Masola alisema kuwa katika fedha hizo kiasi cha Tsh. 500,000,000.00 ni kutoka Mfuko wa Jimbo, Tsh.1,000,000,000.00 ni Tozo za Mafuta , Tsh. 6,000,000,000.00 kutoka Mfuko wa Barabara (Road Fund Board) kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo

Alieleza kuwa sambamba na juhudi za Serikali kuhakikisha Barabara zinapitika kwa kipindi chote cha mwaka bado kuna changamoto nyingi ikiwemo wananchi kuendelea kuswaga  Ng’ombe barabarani, kuvamia hifadhi ya barabara na kufanya shughuli za kilimo na ujenzi pamoja na kuvuta majembe  katikati ya  barabara na kupelekea uharibifu wa barabara.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, Mhe. John Mkwega aliwapongeza  TARURA kwa bajeti nzuri itakayoenda kuboresha miundombinu ya Barabara ambayo itafanya Barabara kupitika kwa kipindi kirefu cha mwaka na kuwataka kuwachukulie hatua wananchi waliolima hadi kwenye hifadhi ya Barabara.

Wakala wa Barabara  Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama ina mtandao wa Barabara wenye urefu wa KM. 647.16, Mtandao wote huo unajumuisha aina tatu za Barabara zilizopo ndani ya Wilaya ambazo ni Barabara za Mkusanyo (Collector), Barabara za Mrisho (Feeder)  Pamoja na Barabara za Jamii(Community roads).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.