• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

ACHENI KUGOMEA SHUGHULI ZA MAENDELEO YENU' WAKILI ELIAS'

Imewekwa kwenye: January 14th, 2024


Wananchi wa Kijiji cha Ilongo , Kata ya Ibaga wametakiwa kuacha kugomea shughuli za maendeleo  na kupisha taratibu za utatuzi wa migogoro yao kupatiwa suluhu na mamlaka husika.

Kauli hiyo imetolewa Januari 13,2024 na Wakili, Anton Elias kutoka Wizara ya Katiba na sheria wakati akijibu swali la wanachi hao katika kampeni ya Msaada wa kisheria ya Mama Samia inayoendelea Wilayani hapa baada ya wananchi hao kumlalamikia Mayunga Ng’wigulu kuvamia eneo la malisho lililotengwa na serikali ya kijiji cha Ilongo.


“Niwaombe ndugu zangu wa Ilongo kugomea shughuli za maendeleo hakuleti suluhu ya mgogoro wenu” Alisisitiza Wakili Elias



Aidha Wakili, Elias amesema kuwa lengo la kampeni hii ni kuhakikisha wananchi wanakua na elimu ya masuala ya sheria ambapo aliwataka wananchi hao kutumia kampeni hiyo vizuri kuibua changamoto zinazowakabili katika maeneo yao hivyo kufuata taratibu stahiki katika kupata haki zao.


Hata hivyo aliwataka wananchi kuendelea kuwapa ushirikiano viongozi waliopo na kushiriki katika shughuli za maendeleo ili kuendeleza maendeleo ya kijiji chao.

Baadhi ya wananchi ambao majina yao yamehifadhiwa wameiomba serikali kupitia kampeni hii ya msaada wa kisheria ya Mama Samia( Mama Samia Legal Aid Compaign) kutatua mgogoro huu uliodumu kwa muda mrefu ambapo wamesema takribani hekari 18 zilizovamiwa na Bw. Mayunga Ng’wigulu zinarudi mikononi mwa serikali ya kijiji kwa manufaa ya watu wa Ilongo.


Kampeni hii imeendelea leo katika Vijiji vya Mkalama, Ibaga na Ilongo katika Kata ya Ibaga


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA TATHMINI YA LISHE ROBO YA NNE – WILAYA YA MKALAMA 2025

    September 03, 2025
  • KONGAMANO LA HUDUMA ZA KIFEDHA WILAYANI MKALAMA

    August 19, 2025
  • MWENGE WA UHURU, WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 36 MKALAMA 2025

    July 21, 2025
  • SERIKALI YAKABIDHI KADI ZA MATIBABU BURE KWA WAZEE MKALAMA

    June 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.