• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Wilaya ya Mkalama kupunguza kichaa cha Mbwa kutoka 8% mwaka 2019 nakufikia 4% Kwa 2020/2021

Imewekwa kwenye: December 4th, 2021



Katika kupambana na kichaa cha Mbwa  ndani ya wilaya ya Mkalama ,Idara ya Mifugo kwa kushirikiana na Taasisi isiyo ya  kiserikali ya Education for African Animals Walfare (EAAW) inayojishughulisha na haki na ustawi wa Wanyama  Nchi wamefanya chanjo kwa Vijiji vya Ilunda na Matongo  ambapo  kwa vijiji hivyo wamechanja Mbwa wapatao 303.


Zoezi hili limefanyika mwishoni mwa mwezi wa 11 .2021 katika Kijiji cha Ilunda Kata ya Ilunda na  Kijiji cha Matongo Kata ya Matongo wilaya ya Mkalama Mkoani Singida.


Akiongea katika zoezi hilo Afisa  Mifugo wilaya ya  Mkalama Bw.Dotto Michael amesema zoezi hilo ni kutekeleza takwa la kisheria chini ya sheria Na. 17 ya mwaka 2003 ya udhibiti  wa magonjwa ya wanyama na sheria Na.19 ya 2008 ya haki na ustawi wa Wanyama Rafiki .


Aidha ameongeza kuwa zoezi hilo muhimu hufanyika kwa lengo la kupunguza ugonjwa wa kichaa cha Mbwa ili kupunguza hasara kwa wafugaji pindi wanyama  wao wanapopata  kichaa  kuwapoteza na kugharamikia fedha nyingi pindi Mbwa wanapowang’ata watu kutokana na  matibabu yake kuwa ghali.


Katika hatua nyingine Bw.Dotto amewataka wafugaji kujitokeza kwa wingi kupeleka Mbwa wao kupatiwa chanjo pindi wanapopata taarifa ili kutokomeza kabisa kichaa cha Mbwa wilayani Mkalama ambapo kwa mwaka 2021/2022 wanatarajia kufikia 2% ya kupunguza Mlipuko wa kichaa cha Mbwa ukilinganisha na mwaka 2019 ambapo  Mlipuko wa kichaa cha Mbwa ulikuwa ni 8%.


Mkurugenzi wa Taasisi ya EAAW inayojihusisha na ustawi wa Wanyama Bw.Ayubu Nnko amesema kuwa  Shirika hilo limekuwa  likishirikiana na wilaya ya Mkalama tangu mwaka 2019  ambapo kulikuwa na kesi nyingi za Mlipuko wa kichaa cha Mbwa ambapo toka zoezi hilo kuanza kesi hizo zimepungua kutoka 8% mwaka 2019 hadi 4% 2020/2021.


Bw. Nnko amesema kuwa Nchi za Afrika na Tanzania ikiwepo zimekuwa zikitumia Dolla  million ishirini kila mwaka  kutibu watu wanaopata kichaa cha Mbwa ambapo ametumia fursa hiyo kuwataka wafugaji kuzingatia chanjo hiyo ili kuepuka  gharama hizo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.