• Wasiliana nasi
    • Maswali
    • Barua Pepe
    • Malalamiko
Mkalama District Council
Mkalama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo
      • Usimamizi wa Mazingira
      • Biashara na Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mipango ya Mji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kisheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi, Ugavi & Vifaa
      • TASAF
      • Biashara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Mfumo wa Taarifa za Shule Tanzania
    • Uvuvi
    • Sekta ya Huduma
    • Ardhi iliyotengwa kwaajili ya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya kwanza
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
      • mwongozo kutoka Tamisemi
      • uongozi ngazi ya vijiji
      • vibali vya ujenzi
      • mfumo wa anwani za makazi
    • Ripoti
      • Taarifa ya CAG 2018
    • Sheria
      • sheria ya fedha
    • mkataba
    • Fomu za Maombi kwa Wateja
      • Leseni ya biashara
      • maombi ya kiwanja
      • leseni za vileo
    • Sera
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
      • Pongezi
      • Matokeo ya Uchaguzi Kinampundu
      • KURUDISHWA KAZINI
      • Juma la elimu
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI TUMULI NA IGUGUNO WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Imewekwa kwenye: September 10th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Bi. Asia Messos amewataka wakazi wa kata za Tumuli na Iguguno wilayani hapa kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa utakaoufanyika Novemba 27,2024

Wito huo ameutoa Septemba 9,2024 wakati wa ziara ya kikazi ya kata kwa kata yenye lengo la kusikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wakazi wa kata hizo.

“Tujitokeze kwa wingi kuwania nafasi za Uongozi lakini pia tujitokeze kwa wingi kwenye mikutano ya siasa ili tuweze kusikiliza sera za viongozi wetu tunaotaka kuwachagua, na itakapofika Novemba 27, 2024 ukapige kura kumchagua kiongozi unayemtaka.” DED Asia Messos

Vile vile amesisitiza juu ya kuchagua viongozi makini wazalendo wenye kiu ya kuleta maendeleo kwa wananchi na si wabinafsi, “Lakini tunapoenda kuchagua viongozi wetu, tusichague ili mradi tumechagua, chagueni viongzi wenye shahuku ya kuleta maendeleo” DED Asia Messos

Akizungumzia kuhusu zoezi la kuandikisha wapiga kura, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Asia Messos amesema mchakato wa kuandika wapiga Kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura utaanza Oktoba 11-21,2024 na kuwataka wananchi wajitokeze kujiandikisha katika daftari hilo.

“Ili uweze kupiga kura unapaswa uwe umejiandikisha kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura, mchakato huu utaanza Tarehe 11-20, Oktoba 2024, itakapofika hii tarehe twendeni kwa pamoja tukajiandikishe tupate nafasi ya kuchagua viongozi wetu tunaowataka” Bi. Asia Messos

Aidha Bi. Asia Messos amewakumbusha wakazi wa kata hizo juu ya umuhimu wa kulinda miundombinu ya serikali, kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa kutoa taarifa kwenye mamlaka husika, kuhakikisha wanashiriki katika shughuli za maendeleo pamoja na kuchangia chakula shuleni.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI KUANZIA TAREHE 09-10-2024 HADI 14-10-2024 October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA MKALAMA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

    April 24, 2025
  • WANAWAKE MKALAMA WAHIMIZWA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI

    March 06, 2025
  • DC MACHALI ATOA WITO WATU WA AFYA MKALAMA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    February 19, 2025
  • SEMINA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WILAYANI MKALAMA

    February 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Taarifa ya fainali kati ya Kisuluiga na Nkungi
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • eMrejesho -Tuma Malalamiko, Maoni au Pongezi
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja

Viungo vinavyohusiana

  • Utumishi
  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKALAMA, 18 MASAKA RD, 43582

    Anuani ya Posta: P.o. Box 1007

    Simu ya Mezani: 026-2964005

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@mkalamadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2018 Mkalama DC . All rights reserved.